
Tuesday, April 28, 2009
Saturday, April 25, 2009
Friday, April 24, 2009
Uzinduzi rasmi wa Malaria Day 23/4/2009



Malaria Day Mtwara!
Hii ni idara ya Damu salama.



Thursday, April 23, 2009
Siku ya Malaria mwaka huu Mtwara!
Maadhimisho ya Siku ya Malaria kitaifa mwaka huu yatafanyika mkoani Mtwara ambapo mgeni rasmi atakuwa Mheshimiwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda. Na ufunguzi rasmi utafanyika leo majira ya saa tisa alasiri na kilele chake hapo siku ya tarehe 25 April 2009. Kutawepo na wadau mbali mbali zikiwemo sekta za serikali na binafsi zinazoshirikiana na serikali ya Tanzania katika mapambano dhidi ya malaria. Kwa habari na picha zitawajia punde kupitia blog yako ya patastories.
Malaria Haikubaliki.
Wednesday, April 22, 2009
Subscribe to:
Posts (Atom)