
Friday, February 6, 2009
Ukandarasi mteremkoni!!


Baiskeli na vimbwanga...

Ila kuna style kama hiyo panapopaki baiskeli nyiingi hitumika kuibiwa mtu usafiri wake, kwani pindi watapoiweka miguu juu ukija na kuchanganyikiwa huwezi ijua kama ndio yako na ukipoteza netwrok tu umeenda na maji tena ya mafuriko. Wameibiwa wengi sana kwa style hiyo Mtwara.
Subscribe to:
Posts (Atom)