Wednesday, February 11, 2009

Ujumbe wa leo!!

Usisaha sala.

Wanafunzi...

Kundi hili la wanafunzi wa kike walipelekwa zahanati kwa lengo la kupimwa nanihii...
Hii ndio hali halisi vijijini. Labda mmoja wao alikutwa nayo nanihii...

Ka-vekesheni ketu!

Vekesheni za kwenda kutembea vijijini zina raha yake bwana.
Tembea uone.

Swali la kizushi!!

Mume kwenda sokoni ni Wivu au Bajeti?

City center za vijijini kama hivi!


Maji ya kunywa kwenye chupa!

Alichoshika kwenye chupa mtoto huyo pichani si juice, bali ni maji ya kunywa.
Hapo ndipo utapoamini kuwa binadamu tunatofautiana kulingana na mazingira tunayoishi.
Samahani maji hayaonekani kwa ukaribu lakini picha umeipata.

Maana ya neno 'Nyata" unapolizungumza Mtwara!

Nyata ama Kunyata kwa mkoani Mtwara linamaanisha kitu kisichopendeza machoni Mfano, mbwa yule amenyata usoni. Kwa Dar na baadhi ya sehemu Kunyata inamaanisha kunyemelea kwa utaratiibu kitu fulani. Habari ndio hiyo.

Taharifa!

Kwa sababu ambazo bado zipo nje ya uwezo wangu, kamera ya patastories bado inamatatizo ya kiufundi. Ila haitakuwa sababu ya kuendelea kukosa vionjo vya blog hii toka vijijini na mijini mambo yanaendelea kidogokidogo. Nikutakie siku njema. Wenu mdau John.

Miradi endelevu ya maji vijijini.

Zamani matenki yalikuwa aina hii juu pichani

Sasa mambo murua kabisa.


Maskini shule...!

Jengo lenyewe ni hilo hilo moja, then hali kama hiyo inatokea.
Kwa kifupi jengo hili halina siku nyingi tangu likamilike.

Nguzo ya umeme inapochoka huwa hivi











Mambo kubofya bofya tu garini.

Ongea na macho yako tu hapo pichani.

Over size au ndio style yake?


Eti kuna nini...!!?


Taswira!


Hapo ni imeanikwa haijatupwa.

Habari ndio hiyo mimi binafsi niling'aa macho.

Raha ya bush hapa tu...

Pande la kidari cha kuku kwa 2,000Tsh tu.
Tena wa kienyeji.

Dari!


Biashara matangazo bwana...!!


Hii ni akili au...?

Eti mtu anatupia nywele kwenye sinki.

Matege!


Barabara zetu hizo!