Friday, August 13, 2010

Punda aliangusha mzigo.




Ilibidi tufanye kazi ya ziada kuwasaidia watoto hao waliokuwa milimani peke yao wakisafiri kwenda kijiji jirani na mahindi kwenye magunia, watoto hawa wawili tuliwakuta milimani tukielekea Ilambo na wakati wa kurudi tukawakuta na punda wao mmoja akiwa ameuangusha mzigo.