Saturday, January 24, 2009

Viti virefu

Staili hii ukiiangalia kwa haraka inaweza ikakushtua lakini sivyo unavyofikiria.
Nimeonelea tu-share na tu-cheke wote kwa kuitazama tu.

Obama and his lovely wife


Mambo ya Mduara!

Palipo na wengi pana mengi.

Enzi ya Sultan na utawala wake

Kiti Maalumu alichokuwa akikititumia Sultan enzi za mkoloni wakati wa maongezi na mkewe.


Hili ni sebule la Sultan enzi ya mkoloni likiwa kama makumbusho, tembelea Zanzibar upate kujua mengi zaidi ya niyajuayo.


Vijimamboz

Hivi ni vijimamboz tu, mimi binafsi sijui anafanya nini hapo?

Ngome Kongwe Zanzibar

Ngome kongwe Zanzibar kwa juu. Maonyesho kadha wa kadha hufanyika katika ukumbi huu mkongwe yakiwemo ya Sauti za Busara, Zanzibar Internationa Film Festival, matamasha mbali mbali ya muziki nk.

CCM Nanyumbu

Moja kati ya matawi ya CC yaliyopo mkoani Mtwara, pichani tawil lililopo katika wilaya mpya ya Nanyumbu.

Mazingira

Watu wanaishi mazingira kama hayo, si kwa mapenzi yao ila ni kutokana na hali ngumu ya maisha iliyowazunguka. Picha hii imechukuliwa katika moja ya slums (kwa kizungu) mjini Nairobi.