Thursday, March 12, 2009

Wapenzi na wadau wa Patastories, kwa wiki karibu moja camera yetu ya pata stories haikuwa porini, hivyokusababisha kukosa vionjo kadha wa kadha. Hii imetokana na kwamba mambo yanayosababisha kupata ugali na maharage kuwa mengi kdogo (majukumu) lakini naahidi kuendeleza libeneke kiubishi ubishi. nikutakie siku njema. Wako Mdau mkuu.