Thursday, March 19, 2009

Ngumi asubuhi asubuhi!


Vijana hawa walikuwa wakionyeshana ubabe, sababu ya ugomvi wao ni kudaiana hela. Mimi nilikuwa mpita njia tu majira hayo ya saa mbili asubuhi.

Enzi zetu ilikuwa vi-soda...


Kijijini watoto wa shule za msingi wao hutumia vipande vya miti kuhesabu, enzi za mwa.a.a.limu tulitumia visoda. Siku hizi watoto wa shule za dot.com wanavifaa maalumu. Maisha yanaenda yakibadilika kila kukicha.

Baghdad ya Mtwara


Sio ya kule Iraq... No. Hapo ni kijijini Chiungutwa (Masasi District) -Mtwara