Patastories ni blog yenye kukupatia habari mbalimbali kwa njia ya picha zikiwemo za vijijini na mjini, karibu tujumuike pamoja.
Nitumie email: mnambajohn@gmail.com
Gari aina ya Limousine lilivyoungua pichani ni usiku wakati tukio hilo likitokea. Mpitanjia mmoja alijishuhudia moto ukiteketeza gari hilo la kifahari refu jeupe lenye hadhi yake... Pole zangu wa mmiliki wa gari hilo linalogharimu mapesa mengi.