Friday, March 13, 2009

Litambue kabla halijaisha ujezi wake!

Kiunganisho kati ya Msumbiji na Tanzania.
Lipo kusini mwa Tanzania Wilaya ya Nanyumbu.

Huku ndiko tulikotoka...

Vijijini sabuni hizi bado ni deal sana.
mjini wameshaanza kuzisahau kidoogo baadhi ya watu.