Patastories ni blog yenye kukupatia habari mbalimbali kwa njia ya picha zikiwemo za vijijini na mjini, karibu tujumuike pamoja.
Nitumie email: mnambajohn@gmail.com
Watanzania utalii wa ndani ni asilimia chache sana, wanyama kama hawa kuwaona kwenye picha tu haitoshi. Uhalisia wa kitu kukiona inaleta raha ya aina yake na kujifunza mengi kuliko kusimuliwa. Tujifunze kupenda kutalii nchini mwetu wenyewe, nchi yetu lakini hatuijui...?
Kwa wale wapenzi wa Channel 5 ya East Africa (EATv) watakuwa wanamfahamu, kwa sasa yupo ndani kipindi kinaitwa Studio 53 (Ndani ya DStv channels). I keep on wishing him best of luck.