Wednesday, February 4, 2009

Mkutano wa kijiji...!!

Mkutano kama huu unanikumbusha enzi za shule ya bweni almaarufu kama skul baraza.
Waliopitia bweni watakuwa wanajua nini namaanisha.

The beach house...!!


Karanga na maganda yake jikoni!


Aisee ni taamu si utani.

Taswira!


Bush environment...


Bwawa na ukame...

Pichani ni bwawa lililopo kilomita kadhaa toka katikati ya wilaya ya Tandahimba (Mtwara), lipo njia iendayo kijiji kimoja kinaitwa Lyenje ambapo linapo jaa hutumiwa na wananchi walio karibu na eneo hilo hasa wakati wa shida ya maji. kwa sasa limekauka.

Kazi ya mchwa hiyo...


Vijimamboz na ubunifu pichani


Mtu afya bwana...

Cha ajabu wenyeji hawaumwi ovyo ovyo

Marie Stoppers Mtwara


Tuesday, February 3, 2009

Mtwara inavyoonekana angani...



Kutoka bush...

Pichani baadhi ya wananchi wakishuka toka kwenye lori kuja mjini kwa mahitaji mbalimbali.

VCT center somewhere in Nairobi.


Parking!



Utalii wa ndani



Watanzania utalii wa ndani ni asilimia chache sana, wanyama kama hawa kuwaona kwenye picha tu haitoshi. Uhalisia wa kitu kukiona inaleta raha ya aina yake na kujifunza mengi kuliko kusimuliwa. Tujifunze kupenda kutalii nchini mwetu wenyewe, nchi yetu lakini hatuijui...?