Siku moja huko peponi Malaika aliwambia wanaume "haya wale woote waliotawaliwa kwa namna moja ama nyingine na mwanamke wakae mastari mmoja, na wasio mstari wao"
Basi mstari wa waliotawaliwa nk nk wakawa weeengi mno, na mstari wa pili jamaa mmoja tu.
Alipoulizwa "wewe kulikoni mbona umetokea peke yako?" Akajibu.
Hata mie najishangaa ni mke wangu kaniambia nisimame upande huu.
Tuesday, January 18, 2011
Monday, January 17, 2011
Monday, December 27, 2010
Wednesday, December 8, 2010
Sunday, August 22, 2010
Saturday, August 14, 2010
Subscribe to:
Posts (Atom)
















