Patastories ni blog yenye kukupatia habari mbalimbali kwa njia ya picha zikiwemo za vijijini na mjini, karibu tujumuike pamoja.
Nitumie email: mnambajohn@gmail.com
Baada ya ukame uliotawala kipindi kirefu mkoani Mtwara hatimae sasa neema ya mvua imejiri. Inahofiwa kuwa isejeleta maafa kama ilivyosababisha mikoa mingine. Habari zaidi zitakujia kwenye picha.