Saturday, January 31, 2009

Fm Academia ndani ya Mtwara

Wazee wa Ngwasuma wakianza shughuli nzima.
Hizi zote ni mbwembwe kuwakonga wadau ukumbini.

Palikuwa hapatoshi.


Wadau na wapenzi wa Ngwasuma hawakuwa nyuma.

Ni full shangwe na Ngwasuma.





No comments:

Post a Comment

Be good.