Friday, February 27, 2009

Mambo ya chips na kuku!


Huwezi amini sehemu hii ndio inatoa chips standard kwa wale tuliozoea chips vumbi.
Ukiachilia mbali chips za mahotelini, kwa wakazi wa Mtwara mjini wanapafahamu hapa.

1 comment:

  1. Duuu hizo chipsi vumbi zimenitamanisha sana
    aisee natamani kama nizitoe hapo nizile

    Mdau

    Melbourne

    ReplyDelete

Be good.