Thursday, February 5, 2009

Pata hii kwenye maelezo...

Pichani sikuweza kuwapata wote ila ni baadhi ya vijana wakiwa chini ya mti majira ya saa tatu asubuhi. Hii nimeishuhudia sana vijijini mkoani Mtwara kwa vijana kulundikana vijiweni wakati wa kazi. Sio kwamba ardhi haipo ya kujishughulisha! Hapana jibu ni ipo, hiyo ndio hali kalisi.

No comments:

Post a Comment

Be good.