Sunday, February 1, 2009

Sio kibaba... ni loki ya bomba la maji.

Kwa wale wauza au wanunua maji ya bomba hili si geni kabisa kwao. Kwa mtazamo wa kwanza unaweza sema ni kibaba kitumikacho kuhifadhia sarafu za pesa.

No comments:

Post a Comment

Be good.