Thursday, March 19, 2009

Enzi zetu ilikuwa vi-soda...


Kijijini watoto wa shule za msingi wao hutumia vipande vya miti kuhesabu, enzi za mwa.a.a.limu tulitumia visoda. Siku hizi watoto wa shule za dot.com wanavifaa maalumu. Maisha yanaenda yakibadilika kila kukicha.

No comments:

Post a Comment

Be good.