Monday, March 2, 2009

Sehemu maalumu ya kuchomea moto maiti!


Eneo hili hutumiwa na watu jamii ya India kuchomea moto maiti za wenzao waliotangulia mbele ya haki, lakini cha kusikitisha vijana waliokosa adabu na heshima wamechora chora ukuta wote.

No comments:

Post a Comment

Be good.