Sunday, March 15, 2009

Uwanja wa Fisi - Masasi (Mtwara)




Hapo ni majira ya asubuhi, ila uwanja wa fisi huu hauna sifa mbaya kama ule wa Manzese Dar.
Hapa ni jina tu na matendo yake sio kama yale wanayoyafahamu wengi toka uwanja wa fisi wa Dar.

No comments:

Post a Comment

Be good.