Monday, April 20, 2009

Limousine lilivyoungua Dar!!

Gari aina ya Limousine lilivyoungua pichani ni usiku wakati tukio hilo likitokea. Mpitanjia mmoja alijishuhudia moto ukiteketeza gari hilo la kifahari refu jeupe lenye hadhi yake... Pole zangu wa mmiliki wa gari hilo linalogharimu mapesa mengi.

No comments:

Post a Comment

Be good.