Thursday, May 21, 2009

Chapati za kutosa kama maandazi!


Hii niliibamba wilayani Nanyumbu mkoani Mtwara, chapati hizi zinapikwa kama uonavyo maandazi kwenye mafuta. Wanasema tembea uone, mimi nimeshaona.

No comments:

Post a Comment

Be good.