Monday, July 12, 2010

Hii kali...

Hii kali....
Jamaa mmoja alimuona mwanaume akisali kwa kuguswa sana juu ya kaburi.
Akaenda na kumkuta akisali yule jamaa 'Kwanini umekufa? Kwanini umeamua kufa?

Jamaa akamuuliza, ''kaka samahani... Nimeguswa sana na unavyo... Je ni nani aliekufa? Mtoto? Mke??

Jamaa makaburini akajibu ''ni mume wa kwanzahukuru sana yule kuku alikuwa mtamu sana.''

No comments:

Post a Comment

Be good.