Wednesday, June 22, 2011

Mke na zawadi

Mke alimuuliza mumewe,"Mbona siku hizi huninunulii zawadi kama pale kabla hujanioa?" Mume akamjibu "umeniona mimi kichaa? Tangu lini mtu akampa chakula samaki baada ya kumvua!"

Tembelea www.chekazone.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Be good.