Wednesday, February 11, 2009

Miradi endelevu ya maji vijijini.

Zamani matenki yalikuwa aina hii juu pichani

Sasa mambo murua kabisa.


Maskini shule...!

Jengo lenyewe ni hilo hilo moja, then hali kama hiyo inatokea.
Kwa kifupi jengo hili halina siku nyingi tangu likamilike.

Nguzo ya umeme inapochoka huwa hivi











Mambo kubofya bofya tu garini.

Ongea na macho yako tu hapo pichani.

Over size au ndio style yake?


Eti kuna nini...!!?


Taswira!


Hapo ni imeanikwa haijatupwa.

Habari ndio hiyo mimi binafsi niling'aa macho.

Raha ya bush hapa tu...

Pande la kidari cha kuku kwa 2,000Tsh tu.
Tena wa kienyeji.

Dari!


Biashara matangazo bwana...!!


Hii ni akili au...?

Eti mtu anatupia nywele kwenye sinki.

Matege!


Barabara zetu hizo!


Tuesday, February 10, 2009

Breaking news


Ndugu wadau wa www.patastories.blogspot.com ninapenda ku-share nanyi kuwa, kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu kamera ya patastories imekumbwa na matatizo ya kiufundi. Hivyo basi natoa masikitiko yangu kuwa speed ya ku-upload itakuwa ndogo kwa siku chache mpaka hapo mambo yatapokaa sawa siku si nyingi.
Niwaombe radhi wale wakiopita kuperuzi kila siku kuwa mambo yatakaa sawa karibuni.
Wenu mdau,
John Mnamba.