
Thursday, February 12, 2009
Wednesday, February 11, 2009
Maji ya kunywa kwenye chupa!
Hapo ndipo utapoamini kuwa binadamu tunatofautiana kulingana na mazingira tunayoishi.
Samahani maji hayaonekani kwa ukaribu lakini picha umeipata.
Maana ya neno 'Nyata" unapolizungumza Mtwara!
Nyata ama Kunyata kwa mkoani Mtwara linamaanisha kitu kisichopendeza machoni Mfano, mbwa yule amenyata usoni. Kwa Dar na baadhi ya sehemu Kunyata inamaanisha kunyemelea kwa utaratiibu kitu fulani. Habari ndio hiyo.
Subscribe to:
Posts (Atom)



Wat+daz+ths+min2.jpg)








