Tuesday, March 17, 2009

Kuku mgeni...???

Msala kwenye kona!

Basi hili lipo kwenye kona kiasi kwamba kama hatua za tahadhari hazikuchukuliwa kunaweza kutokea maafa.

Aajali kwenye nguzo

Hapo ni kwamba gari liliivamia nguzo hiyo na bahati nzuri nguzo husika haikuwa na nyaya za umeme. Sijui hali ya gari ilikuwaje na driver. Picha kwa hisani ya Edga.

Sunday, March 15, 2009

Friday, March 13, 2009

Litambue kabla halijaisha ujezi wake!

Kiunganisho kati ya Msumbiji na Tanzania.
Lipo kusini mwa Tanzania Wilaya ya Nanyumbu.

Huku ndiko tulikotoka...

Vijijini sabuni hizi bado ni deal sana.
mjini wameshaanza kuzisahau kidoogo baadhi ya watu.

Thursday, March 12, 2009

Wapenzi na wadau wa Patastories, kwa wiki karibu moja camera yetu ya pata stories haikuwa porini, hivyokusababisha kukosa vionjo kadha wa kadha. Hii imetokana na kwamba mambo yanayosababisha kupata ugali na maharage kuwa mengi kdogo (majukumu) lakini naahidi kuendeleza libeneke kiubishi ubishi. nikutakie siku njema. Wako Mdau mkuu.