Friday, March 20, 2009

Ujumbe huo...!

Wanafunzi waliofaidika kwa misaada toka mashirika ya kidini.

Wakionyesha nyuso za furaha wanafunzi hao wa shule ya msingi wakionyesha moja ya zawadi walizopatiwa.

Jumuiya za Dini zinavyofanikisha maendeleo ya wananchi


Wananchi kwa pamoja wakijumuisha nguvu katika maendeleo.

Jamii ikiwana ushiriki katika kutimiza malengo.

Moja ya jamii zilizofaidika na jumuiya za kidini.

Thursday, March 19, 2009

Ngumi asubuhi asubuhi!


Vijana hawa walikuwa wakionyeshana ubabe, sababu ya ugomvi wao ni kudaiana hela. Mimi nilikuwa mpita njia tu majira hayo ya saa mbili asubuhi.

Enzi zetu ilikuwa vi-soda...


Kijijini watoto wa shule za msingi wao hutumia vipande vya miti kuhesabu, enzi za mwa.a.a.limu tulitumia visoda. Siku hizi watoto wa shule za dot.com wanavifaa maalumu. Maisha yanaenda yakibadilika kila kukicha.

Baghdad ya Mtwara


Sio ya kule Iraq... No. Hapo ni kijijini Chiungutwa (Masasi District) -Mtwara