
No mifereji, kama ipo imeziba basi tabu tupu.
Hapa baada ya kupata chai mgonjwa huyu wa akili akipayuka yaliyokitoka katika kinywa chake.
Mgonjwa huyu wa akili nilimkuta akipata chai mgahawani kama pichani inavyoonekana.
Hapa baada ya kumaliza chai akisokota bangi tayari kuipuliza, kabla hajaanza kuisokota alikuwa akipayuka ile mbaya bila kujua ni nani saha anayempayukia toka kinywani mwake.