Friday, April 24, 2009

Wacheza ngoma siku ya malaria!

Ming'oko nayo iliwepo siku ya uzinduzi Malaria Day


Uzinduzi rasmi wa Malaria Day 23/4/2009



Maadhimisho haya ya siku ya malaria duniani yamezinduliwa rasmi jana tarehe 23 April 2009 na Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Mstaafu Anatoli Tarimo. Mwenye kaunda suti ya Khaki. Wakazi wa mtwara watapata pia fursa ya kumuona Balozi wa Malaria Ivyone Chakachaka akiambatana na Mkongwe Lady JD. Patakuwa hapatoshi kwa wakazi wa mji huu.


Vikundi vya ngoma za kitamaduni!!




Vikundi mbalimbali vya ngoma za kitamaduni vikitumbuiza wakati wa uzinduzi wa maadhimisho rasmi ya siku ya malaria ambapo kilele chake ni hapo kesho tarehe 25 April 2009.