Friday, April 24, 2009

Uzinduzi rasmi wa Malaria Day 23/4/2009



Maadhimisho haya ya siku ya malaria duniani yamezinduliwa rasmi jana tarehe 23 April 2009 na Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Mstaafu Anatoli Tarimo. Mwenye kaunda suti ya Khaki. Wakazi wa mtwara watapata pia fursa ya kumuona Balozi wa Malaria Ivyone Chakachaka akiambatana na Mkongwe Lady JD. Patakuwa hapatoshi kwa wakazi wa mji huu.


No comments:

Post a Comment

Be good.