Wednesday, January 28, 2009

Hii kali...

Dada hapo yupo bize kuisaini kijistika ndogo kwa ajili ya kumpatia mteja anaekuja kuacha simu yake kwaa ajili ya kuichaji, hii yote kuepukana na mafisadi wa simu wataodai kuwa waliacha za kwao zikichajiwa. Mambo ya kijijini hayo, tembea uone.

No comments:

Post a Comment

Be good.