Saturday, January 24, 2009

Mazingira

Watu wanaishi mazingira kama hayo, si kwa mapenzi yao ila ni kutokana na hali ngumu ya maisha iliyowazunguka. Picha hii imechukuliwa katika moja ya slums (kwa kizungu) mjini Nairobi.

No comments:

Post a Comment

Be good.