Monday, February 2, 2009

Ujezi barabara...

Hii yote ni kuilinda lami iliyomwagwa isimong'onyoke kutokana na maji ya mvua.
Huu mi ndio nauita ukandarasi, ila wengine hujenga bila kuzingatia haya ili tenda ipatikane tena baada ya kipindi kifupi kupita.

No comments:

Post a Comment

Be good.