Monday, February 2, 2009

Vinyago sokoni.

Imezoeleka sana kuwa wazungu ndio wateja/wanunuaji wakubwa wa vitu hivi, sisi waafrica hasa watanzania wenzangu tatizo ni nini? Hu ni uasilia wetu na culture yetu ila tunaupuuza na kutowaunga mkono wenzetu.

No comments:

Post a Comment

Be good.