Hii ni idara ya Damu salama.
Banda la Tiba nalo liliwepo.
Wadau wengine wanaojihusisha kwa namna moja ama nyingine katika mapambano dhidi ya malaria wapo katika kuadhimisha siku hii ya malaria ambapo kilele chake ni tarehe 25 april 2009 Mheshimiwa waziri Mkuu akiwa mgani rasmi. Habari za kufurahisha ni kwamba Lady JD na Ivyone Chakachaka tayari yupo mjini Mtwara Leo.
No comments:
Post a Comment
Be good.