Tuesday, May 19, 2009

Libeneke la Under Five catch-up Campaign Southern Zone - Tanzania.

Mwanamama akionyeshwa jinsi ya kuweka sahihi kumuwakilisha mwanae.
Mkakati wa ugawaji ulipokuwa katika hatua za awali.
Watoa vyandarua wakikagua majina ya watoto walioandikishwa.
Wananchi waliojitokeza kuwekewa dawa katika vyandarua vyao.

No comments:

Post a Comment

Be good.