Tuesday, May 19, 2009

Umoja Bridge mpakani mwa Tanzania na Msumbiji.




Upande niliopo ni wa Tanzania na upande wa pili ni Msumbiji.
Daraja lipo Mkoani Mtwara wilaya ya Nanyumbu sehemu ijulikanayo kwa jina Mtambaswala.

No comments:

Post a Comment

Be good.