Thursday, January 29, 2009

Football ground.

Pichani unauona uzio ambao upende wa pili kuna mechi ikiendelea wakati picha hii inachukuliwa, kiingilio ndio kitachokuwezesha kujua ya upande wa pili.

Kama mweleka vile...!

Unaweza ukajua nini kimeikumba pikipiki hii?

Kijijini nako kweeema kabisa!

Na njiwa nae yupo kutafuta chakula pichani.

Kwa wengine hili ni "deal" au sio?


Kwenda kwa Rais mstaafu awamu ya tatu...

Unatambaa na mkeka saafi kabisa kwenda kijijini Lupaso (Masasi-Mtwara)
Kituo cha afya kijijini Lupaso hakipo nyuma.

Majengo ya Kitua hicho cha afya Lupaso karibu kabisa na kwa Mheshimiwa rais Mstaafu.



Enzi hizi hata mimi nilipita!!


Nauli!

Inasemekana kuwa kwa baadhi ya magari almaarufu makenta ama malori yabebayo abiria yanayofanya safari zake kwenda Tunduru kupitia njia ya Mtwara wanawake ndio hulipa nauli kubwa, hili nikauliza na kujibiwa kuwa baadhi ya makenta/malori hayo ni vimeo (Mabovu) hivyo linapohitaji msaada wa kulisumkuma liwake wanaume ndio wanashughulika. Swali je kwa mwanaume akitaka kulipa nauli kubwa kidogo na yeye atakubaliwa?

Wednesday, January 28, 2009

Comment!!!


Kutoka maktaba

Jumba la maajabu Zanzibar! Pembezoni kabisa mwa Forodhani ya zamani, kwa sasa forodhani ipo katika mchakato wa mwisho mwisho kakamilika pawe pa kisasa zaidi.

Mawaziri wa baadae hao!

Wakati mtoto wa kijijini kushika muhogo na kuutafuna mbichi mbichi ni kawaida, wa mjini analilia nya kwenye pakti... Maisha hayafanani kabisa.

Mambo ya patastories hayo!


Kukuz


Hii kali...

Dada hapo yupo bize kuisaini kijistika ndogo kwa ajili ya kumpatia mteja anaekuja kuacha simu yake kwaa ajili ya kuichaji, hii yote kuepukana na mafisadi wa simu wataodai kuwa waliacha za kwao zikichajiwa. Mambo ya kijijini hayo, tembea uone.

Stand ya Mabasi Masasi (Mtwara)


Bajaji, pikipiki mabasi, daladala mabasi makubwa ili mradi kila kimojawapo kina lake jambo.

SACCOS