Sunday, February 1, 2009

Great Man


Maigizo jukwaani

Yote ni kufikisha ujumbe kwa jamii kwa namna moja ama nyingine.

Vodashop Mtwara!!

Karibu Vodashop Mtwara.

Shamba la minazi!!


Bagamoyo!




Sokoni mashalah!

Kaka ame-display picha zake sokoni za yeye na wateja wake. Ni unique style.

African Art...


Nakshi nzuri kwa sebule yako.
Waswahili wanasema kizuri gharama.

Sio kibaba... ni loki ya bomba la maji.

Kwa wale wauza au wanunua maji ya bomba hili si geni kabisa kwao. Kwa mtazamo wa kwanza unaweza sema ni kibaba kitumikacho kuhifadhia sarafu za pesa.

Dawa!!

Moja ya dawa ta aina yake ambayo kabeji zimelowekwa kwa ajili ya kituo kimoja kinachohudumia watu wanaoishi na VVU.

Greda bar...

Nalo limeenda kupata supu na mtori.

Umeiona hii?
















Saturday, January 31, 2009

Kwa wapenda Magari...

Link ifuatayo chini inaweza kukupa idea fulani kuhusu gari yako...

Fm Academia ndani ya Mtwara

Wazee wa Ngwasuma wakianza shughuli nzima.
Hizi zote ni mbwembwe kuwakonga wadau ukumbini.

Palikuwa hapatoshi.


Wadau na wapenzi wa Ngwasuma hawakuwa nyuma.

Ni full shangwe na Ngwasuma.





Teknolojia...

Teknolojia moja inapoipiku ingine huua kwa namna moja ama soko wa iliyopita, pichani ni kifaa chenye uwezo kama flash disk kenye uwezo wa kuhifadhi na kusikiliza mziki uwapo garini. Ni teknolojia nzuri sikata, hasa kwa barabara za vijijini ambapo CD kwenye kashkash za rafu road inakata kuimba. Wanasema Mchina huyo bwana.

Kijiweni...

Kwenye majengo wanapopangisha wanalipa kodi, je hapa napo vivyo hivyo? Swali.