Sunday, February 1, 2009

Saturday, January 31, 2009

Kwa wapenda Magari...

Link ifuatayo chini inaweza kukupa idea fulani kuhusu gari yako...

Fm Academia ndani ya Mtwara

Wazee wa Ngwasuma wakianza shughuli nzima.
Hizi zote ni mbwembwe kuwakonga wadau ukumbini.

Palikuwa hapatoshi.


Wadau na wapenzi wa Ngwasuma hawakuwa nyuma.

Ni full shangwe na Ngwasuma.





Teknolojia...

Teknolojia moja inapoipiku ingine huua kwa namna moja ama soko wa iliyopita, pichani ni kifaa chenye uwezo kama flash disk kenye uwezo wa kuhifadhi na kusikiliza mziki uwapo garini. Ni teknolojia nzuri sikata, hasa kwa barabara za vijijini ambapo CD kwenye kashkash za rafu road inakata kuimba. Wanasema Mchina huyo bwana.

Kijiweni...

Kwenye majengo wanapopangisha wanalipa kodi, je hapa napo vivyo hivyo? Swali.

Friday, January 30, 2009

Na hili je?

Unapoletewa maji kama haya je mara zote unakuwa na uhakika yanapotoka?
Au tunaangalia shida ilivyotubana tu...?

Cheka Kiafya!!

Add ImageKuna sehemu moja Mkoani Mtwara inaitwa Nakapanya na ingine inaitwa Nanguruwe, hii ni kweli na ucheke kiafya tu sio sana. Kuna dada mmoja wakati mahojiano yakiendelea kuhusu maisha yake nk, nk, ilifika kipindi katika maelezo yake ilikuwa hivi:
...mimi niliolewa Nakapanya nikaachika nikaenda kuishi Nanguruwe...
Yaani akimaanisha aliwahi ishi maisha ya ndoa Nakapanya na baadae akaenda kuishi Nanguruwe.
Ni story ya kweli si ya kutunga.
Kiafya tafadhali!

Ni mapambo tu sio wa ukweli.

Anaweza kuwa kivutio kama ni nyumbani kwako, garden nk nk.