Friday, March 20, 2009

Jumuiya za Dini zinavyofanikisha maendeleo ya wananchi


Wananchi kwa pamoja wakijumuisha nguvu katika maendeleo.

Jamii ikiwana ushiriki katika kutimiza malengo.

Moja ya jamii zilizofaidika na jumuiya za kidini.

Thursday, March 19, 2009

Ngumi asubuhi asubuhi!


Vijana hawa walikuwa wakionyeshana ubabe, sababu ya ugomvi wao ni kudaiana hela. Mimi nilikuwa mpita njia tu majira hayo ya saa mbili asubuhi.

Enzi zetu ilikuwa vi-soda...


Kijijini watoto wa shule za msingi wao hutumia vipande vya miti kuhesabu, enzi za mwa.a.a.limu tulitumia visoda. Siku hizi watoto wa shule za dot.com wanavifaa maalumu. Maisha yanaenda yakibadilika kila kukicha.

Baghdad ya Mtwara


Sio ya kule Iraq... No. Hapo ni kijijini Chiungutwa (Masasi District) -Mtwara

Tuesday, March 17, 2009

Kuku mgeni...???

Msala kwenye kona!

Basi hili lipo kwenye kona kiasi kwamba kama hatua za tahadhari hazikuchukuliwa kunaweza kutokea maafa.

Aajali kwenye nguzo

Hapo ni kwamba gari liliivamia nguzo hiyo na bahati nzuri nguzo husika haikuwa na nyaya za umeme. Sijui hali ya gari ilikuwaje na driver. Picha kwa hisani ya Edga.

Sunday, March 15, 2009

Friday, March 13, 2009

Litambue kabla halijaisha ujezi wake!

Kiunganisho kati ya Msumbiji na Tanzania.
Lipo kusini mwa Tanzania Wilaya ya Nanyumbu.

Huku ndiko tulikotoka...

Vijijini sabuni hizi bado ni deal sana.
mjini wameshaanza kuzisahau kidoogo baadhi ya watu.