Friday, March 13, 2009

Litambue kabla halijaisha ujezi wake!

Kiunganisho kati ya Msumbiji na Tanzania.
Lipo kusini mwa Tanzania Wilaya ya Nanyumbu.

Huku ndiko tulikotoka...

Vijijini sabuni hizi bado ni deal sana.
mjini wameshaanza kuzisahau kidoogo baadhi ya watu.

Thursday, March 12, 2009

Wapenzi na wadau wa Patastories, kwa wiki karibu moja camera yetu ya pata stories haikuwa porini, hivyokusababisha kukosa vionjo kadha wa kadha. Hii imetokana na kwamba mambo yanayosababisha kupata ugali na maharage kuwa mengi kdogo (majukumu) lakini naahidi kuendeleza libeneke kiubishi ubishi. nikutakie siku njema. Wako Mdau mkuu.

Wednesday, March 4, 2009

Monday, March 2, 2009

Huyu ndie Jelly fish!


Vyeupe vyeupe vyenye shepu ya duara ndio kiumbe hai wa baharini kwa jina Jelly Fish, moja ya athari zake ambazo mi nimeshadhurika nae ni kwamba akikugusa ni utawashwa kwa maumivu sana. Wanapatikana sana baharini.

Sehemu maalumu ya kuchomea moto maiti!


Eneo hili hutumiwa na watu jamii ya India kuchomea moto maiti za wenzao waliotangulia mbele ya haki, lakini cha kusikitisha vijana waliokosa adabu na heshima wamechora chora ukuta wote.