Patastories ni blog yenye kukupatia habari mbalimbali kwa njia ya picha zikiwemo za vijijini na mjini, karibu tujumuike pamoja.
Nitumie email: mnambajohn@gmail.com
Kijijini watoto wa shule za msingi wao hutumia vipande vya miti kuhesabu, enzi za mwa.a.a.limu tulitumia visoda. Siku hizi watoto wa shule za dot.com wanavifaa maalumu. Maisha yanaenda yakibadilika kila kukicha.
Hapo ni kwamba gari liliivamia nguzo hiyo na bahati nzuri nguzo husika haikuwa na nyaya za umeme. Sijui hali ya gari ilikuwaje na driver. Picha kwa hisani ya Edga.