Tuesday, January 27, 2009

Kibanda

Kibanda hiki sio tu kama ni cha mapumziko... bali...





Ni Bakery kama zilivyo zingine kwa kuoka mikate, sijafahamu wanafanyaje ila habari ndio hiyo. Mikate kwa kijijini hapo huokwa hapo kitaalamu.

No comments:

Post a Comment

Be good.