Tuesday, January 27, 2009

Moja ya Hospitali kongwe!




Moja ya hospitali za zamani nchini Tanzania, hospitali hii ni ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara. Kwa waliofika Masasi kwa namna moja ama nyingine wana/watakuwa wanaijua.


No comments:

Post a Comment

Be good.