Patastories ni blog yenye kukupatia habari mbalimbali kwa njia ya picha zikiwemo za vijijini na mjini, karibu tujumuike pamoja.
Nitumie email: mnambajohn@gmail.com
Sunday, January 25, 2009
Nazi na mti wake
Kwa watu wa mikoa ya pwani nazi huwa ndio kiungo mbadala ya mafuta ya kupikia yanayolalamikiwa na wengi kiafya kuwasumbua. Wewe unasemaje kuhusiana na nazi?
No comments:
Post a Comment
Be good.