Sunday, January 25, 2009

Anaconda

Aisee huyu ndie Anaconda.

Daraja mbao


Sunset


Moja kati ya aina ya picha ninazozipenda sana, hasa kwa kupamba ndani ya nyumba huleta nakshi nzuri sana.

Sehemu za kufurahia maisha

Moja ya resort almaarufu Sunrise Beach Resort, kwa maraha na beach safi hapa ndio mahala pake. Tembelea Kigamboni Dar es Salaam almaarufu eneo linaitwa mjimwema.

Twende Kazi!


Ufahamu kuhusu ugonjwa wa TB

Ili mtu aweze kuugua TB ni lazima awe na mgonjwa aliemuambikiza TB, na yeye awe na upungufu wa kinga mwilini. Upungufu wa kinga mwilini unaweza kusababishwa na maradhi mbalimbali yakiwemo:
Utapiamlo, Kisukari, Surua, UKIMWI na mengineyo.
Pia kinga ya mwili inaweza kupungua ukitumia dawa za kutibu saratani au za kushusha kinga ya mwilini.

Dalili za TB.
Kukohoa mfululizo kwa muda wa wiki mbili (2) au zaidi, na kutoa makohozi safi yaliyochanganyika na damu.
Maumivu ya kifua.
Kutokuwa na hamu ya kula.
Kukonda na kupungua uzito wa mwili na kunakoendelea.
Mwili kunyong’onyea na kuhisi uchovu.
Homa mfululizo.

Nazi na mti wake

Kwa watu wa mikoa ya pwani nazi huwa ndio kiungo mbadala ya mafuta ya kupikia yanayolalamikiwa na wengi kiafya kuwasumbua. Wewe unasemaje kuhusiana na nazi?

Stone town

Moja ya mitaa ya stone town ndani ya Zanzibar mji mkongwe.

Saturday, January 24, 2009

Viti virefu

Staili hii ukiiangalia kwa haraka inaweza ikakushtua lakini sivyo unavyofikiria.
Nimeonelea tu-share na tu-cheke wote kwa kuitazama tu.

Obama and his lovely wife


Mambo ya Mduara!

Palipo na wengi pana mengi.

Enzi ya Sultan na utawala wake

Kiti Maalumu alichokuwa akikititumia Sultan enzi za mkoloni wakati wa maongezi na mkewe.


Hili ni sebule la Sultan enzi ya mkoloni likiwa kama makumbusho, tembelea Zanzibar upate kujua mengi zaidi ya niyajuayo.


Vijimamboz

Hivi ni vijimamboz tu, mimi binafsi sijui anafanya nini hapo?

Ngome Kongwe Zanzibar

Ngome kongwe Zanzibar kwa juu. Maonyesho kadha wa kadha hufanyika katika ukumbi huu mkongwe yakiwemo ya Sauti za Busara, Zanzibar Internationa Film Festival, matamasha mbali mbali ya muziki nk.

CCM Nanyumbu

Moja kati ya matawi ya CC yaliyopo mkoani Mtwara, pichani tawil lililopo katika wilaya mpya ya Nanyumbu.