Saturday, February 7, 2009

Eneo nililojidai nalo enzi zetu...

Kwa mkazi wa Dar na kwingineko waliowahi kupasikia Mabibo hostel watakuwa wanajua nazungumzia nini. Ni moja ya Hostel za Chuo Kikuu Dar es Salaam, waliopita hapo hakika watakubaliana na mimi kuwa pana mazingira yanayovutia.

No comments:

Post a Comment

Be good.