Saturday, February 7, 2009

Hii kali...!!

Hali kama hii inapotokea hakuna jinsi zaidi ya kushusha mzigo wote chini ili kazi ya kulinasua lori ifanyime. Upande wapili wa lori hili kuna magunia ya korosho yameshushwa kutokana na uzito.

No comments:

Post a Comment

Be good.